MAHUSIANO:








*NAMPATAJE MTU SAHIHI WA KUOA*
you will never find something right for you unless you get at a right time.......
Wakati mzuri wa kukata tamaa ni pale unapokuwa umekipata.Hujawahi taka kula chakula mpaka wakati unapofika ndipo tumbo linadai kitu.
Sitaki nikuvunje moyo kwamba hauna kitu sahihi ulichotaka,ila nataka uone namna ya kumpata mtu sahihi wakuoa katika maisha yako,Hakuna mnunuzi wa kiatu atakayefurahi ikiwa atagundua amechukua *over size* lakini furaha yake hudhihirika anapokuwa amepata kiatu chenye *size* yake inayomtosha.,
*Jinsi ya kumpata mtu sahihi wa kuoa au kukuoa*

1: WAKATI MUAFAKA WA KUAMUA
Tatizo si hitaji ,tatizo ni muda wa hilo hitaji kutimizwa umefika?,Lazima uangalie uko wapi na unaenda wapi ,uko hatua gani ya mipango yako..? Dont do unplanned things and expect the right result out...never!.
Kwako isitokee kama ajali kujikuta umetumbukia kwenye mahusiano,na baadae ukaanza kusema mahusiano yamekuwa tanzi kwako.
Wakati hautegemei umri wako ili uanzishe mahusiano,wala mali haziamui au hazikupi sifa za kuanzisha mahusiano bali wakati wako umefika?,siku zote tunayo maji lakini si mara zote tunakunywa isipokuwa kwa wakati.

N:B,uhitaji wako si mlango wa kumpata mwenza wako.Ni ngumu kujua wakati wako lakini mambo yako yanapokuwa yamefikia hatua yenye mwanga mbele waweza amua kuanzisha sasa,na ukiingia si ile unaweka booking!
Nielewe wakati wa mvua kunyesha hakutegemei maandalizi ya mkulima kwenye shamba lake,kwani hata asipoandaa mvua itanyesha na wakati wa mvua kunyesha. Ukipita asitegemee kuirudisha kwa maombi yake,"vivyo hivyo ukiwa selective sana wakati we si mwanafunzi ni mdada na kukomaa umekomaa kabisa basi tarajia kulia baadae sana na kufunga mno kwani wakati wako ulipita subiri waliozaliwa baada yako watwaliwe"



2: JIWEZE MWENYEWE KWANZA
Haiwezekani hujui hata namna ya kujisimamia mwenyewe leo wataka kuingia kwenye majukumu ya kumsimamia mwingine,Hujui hata kupangilia mambo yako halafu unataka uanze kupangilia mipango ya wawili ukitegemea itasimama,aaaaah! Hapana bhna ni ngumu,nakushauri enjoy to be single until you come to control yourself.

3: HAKIKISHA UNA MAHUSIANO MAZURI NA MUNGU
Kuna maneno yanayofanana na haya kwamba ikiwa nyinyi mnajua kuwapa watoto wenu vilivyo vyema si zaidi sana Baba wa mbinguni.Mungu ni baba yako na kama uko na mahusiano mazuri na yeye hawezi kukupa jiwe unapoomba mkate ina maana ukiomba mke mwema atakutengenezea mazingira ya kumpata mke mwema huyo.we should not lie to ourselves about getting a good wife while we are not good with God.

You need good wife be good with God, make up your mind.


Comments