HUDUMA YA FORGIVEN TO FORGIVE KATIKA KANISA LA CALVARY ASSEMBLIES OF GOD KINGOLWIRA
Mchungaji kiongozi wa pastor Hango kanisa hilo akiongea jambo katika ibada hiyo
Baadhi ya wana kikundi cha Forgiven to Forgive waliofika katika kanisa hilo siku hiyo
Mama mchungaji kiongozi wa kanisa hilo
baadhi ya washirika waliohudhuria ibadani siku hiyo
mwalimu wa shule ya jumapili Cosmas Malando akifundisha katika ibada hiyo
viongozi wa sifa na kuabudu wakimtukuza Mungu katika ibada hiyo
Kumtukuza na kumwimbia Mungu kurejesha furaha
watu wakiendelea kupokea kile ambacho kilikusudiwa katika ibada
ibada hiyo ilikuwa ya baraka sana mahali hapo siku hiyo
karibu tushirikiane katika kumtangaza Yesu kwa watu kupitia Huduma hii ya Forgiven to Forgive
Utukufu kwa Mungu
ReplyDeleteUtukufu kwa Mungu
ReplyDeleteamen
ReplyDelete